Tuesday, March 13, 2012

Mahari ya Lynett Tehingisa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ilipendezaje??




Kitu cha Bella Naija,,,,,,,ndo aliyekuwa matron


e
du mmependeza sana,,,,,,,,,,,

dining room,,,cool uuh..



kwa wale wapombekaji ni hapo jamani,,,,,aahaaha



jihouse ambalo mtoto Lynett anatarajia kuliacha soon kwenda kwa husband,,,,,


tukiingia jamani,,,,,,,tulitoaje machoo,,,



Kitu cha rwamuyagaza


me and my sisy


Muke ya muzungu,,,,chezeyaa


Mambo ya bukoba hayo...jamani mtakao oa bukoba mjiandae mahari ndo kama mnavyooona












na matron wake





kula mpenzi





smile ya ukwe.....





pete ya ukweli jamani,,,kitu diamond

mama mzaa chema ,,,,,amapendeza sana






baby nilishe basi,,,,,,,,,,,,


tulikunywaje moet,,,,,,,,,,,,,,,,


jamani mlipitwajeee.............


hizi kuku zilikuwa ni balaa,,,tamu mnooo,,na pilipili ndo usiseme



ni siku yao jamani,,,,,,,,,,,,,






aliyevaa white top ni mdogo wa bibi harusi mtarajiwa,,,,

huyu dada nilimpendaje,,,,,she is so cute,,eti eeeh

mwisho wa kunukuuuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...